Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2020

WATANZANIA TUSIDANGANYIKE SERA YA SERIKALI YA MAJIMBO YA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA TUNDU LISSU ITALIANGAMIZA TAIFA

Nimemsikia mgombea urais wa CHADEMA akinadi moja ya Sera yake ni kuanzisha mfumo wa Serikali za majimbo  Ili tuwe na haki ya kumuunga mkono au kumpinga LISSU ni vyema tukajielimisha fasili ya  Serikali za majimbo na sababu zilizosababisha baadhi ya mataifa kuanzisha sera hiyo.  Kimsingi kuna mifumo mikuu miwili inayotumika kuongoza Serikali Duniani kwa kimombo zinaitwa Unitary government na Federal government. Katika mifumo hiyo miwili, tujikite kujadili mfumo wa Federal government ambao huzaa Sera ya Serikali ya majimbo inayoaahidiwa na LISSU. Kwa mujibu wa taasisi ya International Institute for Democracy and Electoral  Assistance (IDEA) Federalism is a Constituonal mechanism for dividing power between different levels of government so that the federal units can enjoy Substantial,  Constitutionally guaranteed autonomy over certain Policy area while sharing power in accordance with agreed rules over other areas  Kwa tafsiri isiyo rasmi, Federalism: ni mfumo wa kikatiba wa kugawa mamlak

MAMBO 10 ALIYOYASEMA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI , DKT. HASSAN ABBASI KATIKA MAHOJIANO NA TIMES FM TAREHE 23/09/2020

Picha
1. Wakati wanasiasa wakiendelea na kampeni za uchaguzi, Serikali bado ipo na kazi mbalimbali zinaendelea kama ilivyopangwa, sheria za nchi zipo na wasemaji wa nchi wapo; ukitugusa na uongo wako tutakujibu; 2. Miradi mbalimbali mikubwa na midogo inayolenga kuboresha maisha ya Watanzania inaendelea vyema na tutaendelea kutoa takwimu za kila mara kuhusu utekelezaji; 3. Kuhusu faida za ndege hili tumeshalieleza sana kwamba ndege ni ajira hivyo zimeshaingiza zaidi ya ajira 400 za moja kwa moja; ndege ni mapato hivyo zimeshaongeza mapato ya Shirika na Serikali kutoka Bilioni 2.5 kwa mwezi hadi Bilioni 15 kwa mwezi na kodi zaidi zinalipwa zinazokwenda kuhudumia wananchi; 4. Kuhusu madai kwamba ndege zilinunuliwa bila uwazi wala bajeti yake haijulikani Dkt. Abbasi alihoji wanaotoa madai hayo kama wanaishi Tanzania au vipi! Alisema ununuzi ulikuwa kwa mujibu wa kifungu kipya cha 65A cha Sheria ya Ununuzi wa Umma (marekebisho ya 2016) ambayo inaruhusu, kwa nia ya kupata bei bora na thamani ya fe

KISHINDO CHA AWAMU YA 5 KWENYE SEKTA YA BIASHARA: UCHAMBUZI WA ILANI YA CCM 2020-25.

Biashara ni moja ya sekta kiini na kichocheo kikubwa sana cha maendeleo ya viwanda na sekta nyingine zinazogusa maisha ya watu kiuchumi na kijamii. Sura ya Pili ya Ilani ya CCM iliyoelezmapinduzi ya uchumi kwa maendeleo kwa watu imefafanua kwa upana mafanikio makubwa yaliyopatikakana kwenye sekta hii na kuweka mipango na mikakati mingine mikubwa ya kuboresha na kuimarisha sekta hii kwa miaka mitano ijay Kipengele cha 47 cha Ilani ya CCM kilichoanzia ukurasa wa 59 hadi 60 kimeeleza mafanikio lukuki yaliyopatikana kwenye miaka mitano iliyopita ambayo yamewekewa mikakati zaidi ya kuboreshwa na kuimarishwa zaidi kwa miaka mitano ijayo. Mafanikio hayo ni pamoja na: Kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa na huduma kwenye masoko ya kikanda (preferential market access) ambapo kwa upande wa Jumuia ya Afrika Mashariki kutoka mwaka 2015 hadi 2018 Tanzania imekuwa urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwa wastani wa Dola za Kimarekani milioni 288.04 ambapo bidhaa za madini ya Tanzanite, Chai, Kahawa, Sigara, Da

UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA UPOTOSHAJI ULIOFANYWA NA BBC IDHAA YA KISWAHILI

1. Inashangaza kwa chombo chenye hadhi kimataifa kama BBC Swahili kuchukua taarifa kutoka mtaani na kuzirusha bila kupata uthibitisho toka kwa mamlaka husika. 2. Mkataba wa Serikali na Barrick sio wa siri.  3. Mkataba huo tangu usainiwe mwezi Januari mwaka 2020 haujawahi kubadilishwa. 4. Hakuna mkataba uliosainiwa mwaka 2017. Mwaka huo ndipo mazungumzo yalipoanza baada ya pande zote kusaini Statement of Undertakings. 5. Misingi muhimu ya kulinda maslahi ya Nchi imeendelea kuwa kama ifuatavyo:-      -> Madini yatachenjuliwa Tanzania na viwanda hivyo vimeanza kujengwa na Barrick wametenga                dola milioni 5 kwa ajili ya kutafiti kuhusu ujenzi wa Smelter.      -> Baada ya kujenga Smelter hakuna madini ghafi yatasafirishwa. Hii ikihusisha pia madini mengine             kama almasi na tanzanite.      -> Mapato yapatikanayo na mauzo ya madini yatahifadhiwa katika benki zilizopo Nchini na tayari                  Barrick wamekwishafungua akaunti Nchini na kufunga akaunti zi

LISSU APOTOSHA WANANCHI KUHUSU UWANJA WA NDEGE WA MPANDA- MKOANI KATAVI

Picha
T undu Lissu  kama ameishiwa sera ni bora akae kimya kuliko kuongea uongo na upotoshaji pindi anapoomba kura kwa wananchi katika kampeni zake. Leo akiwa katika kampeni zake Makambako Mkoani Njombe  amewaeleza wananchi kuwa uwanja wa ndege wa Mpanda kwa sasa haufanyi kazi kwamba ulijengwa kwasababu Mizengo Pinda alikuwa Waziri Mkuu kuwa Sasa siyo Waziri Mkuu anaishi Zuzu Dodoma, Uwanja wa Ndege wa Mpanda watu wanalishia Mbuzi na Ng'ombe, jambo ambalo siyo kweli. Ukweli ni kwamba mpaka sasa ndege za Air Tanzania zinafanya safari za kwenda mpanda, ushahidi huo hapo chini, unaoonesha kuwa kesho Tarehe 15/09/2020 Air Tanzania  inaenda MPANDA na SEATS zimebaki 5 tu, hata Lissu anaweza kuziwahi kama unataka kwenda. Watanzania tuwe makini na huyu Lissu na maneno anayoyatoa kwenye kampeni zake katika maeneo yenu, tuyatafakari na kuyatahimini kwani mtu ambaye analopoka mambo amabayo hayajui kiundani. NI MUONGO MPOTOSHAJI, HANA SERA. Tuendelee kuunga mkono Rais Magufuli ili tuendelee kupata m

MIPANGO ILIYOANDALIWA KUIINGIZA TANZANIA KATIKA MACHAFUKO KIPINDI CHA UCHAGUZI MKUU

Picha
Mipango hiyo imewekwa bayana kupitia mahojiano yaliyofanyika kati ya Mtangazaji wa Swahili villa online Tv Dk. Patrick Nhingula na Wakili wa Tundu Lissu Bw. Robart Amsterdam akiwa Instarbul Nchini Uturuki.  Katika mahojiano hayo imeelezwa mipango hiyo bila chembe ya aibu ikizingatiwa kuwa Tanzania ni Nchi huru inayofuata utawala wa kisheria na misingi ya kidemokrasia kama zinavyofanya Nchi nyingine Duniani.  Mipango hiyo imethibitiswa kwa kauli nne alizozitoa wakili Robert Amsterdam ambazo ni:- 1. UCHOCHEZI WA FUJO NA MACHAFUKO KWA VYAMA VYA UPINZANI Amsterdam amekiri na kuthibitisha kwa kinywa chake kuwa yeye na timu yake wameamua kuwa wachochezi wa vitendo vya fujo ili kuharibu amani iliyopo Tanzania kwa kushirikiana na baadhi ya vyama vya upinzani Nchini. Bw.Robart Amsterdam ametoa madai ambayo siyo ya kweli kudai kuwa kwa muda mrefu viongozi wa vyama vya upinzani Nchini Tanzania wamefungwa midomo. Hivyo, ameeleza kuwa atahakikisha anaunga mkono vyama vya upinzani katika kufanya fuj

NI VEMA WANASIASA WA UPINZANI KUHIFADHI MANENO ILI KUEPUKA KUONEKANA NDUMILA KUWILI; ZITTO KABWE ZINGATIA NENO HILI!!

Picha
Kwa muda mrefu ZITTO KABWE amekuwa akikebehi maendeleo yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kwa kudai kuwa imejikita katika maendeleo ya vitu na siyo maendeleo ya watu, kwamba Serikali ilikuwa haina haja ya kununua ndege na kufufua shirika la ndege la Taifa (ATCL), kujenga madaraja na barabara, vituo vya afya, ukarabati wa vivuko na meli. Wakati kimsingi twajua kuwa hayo yote yanafanywa na Serikali kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi na kuwarahisishia kujipatia vipato vyao vya kila siku katika shuguli zao za kiuchumi na kijamii. Jambo la ajabu na kushangaza ni kwamba ZITTO KABWE amekuwa akikebehi ununuzi wa ndege kwamba ni hauleti maendeleo kwa watu. Leo tarehe 11.09.2020 amesafiri na Shirika la ndege la ATCL kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma kufanya shughuli zake za kisiasa (kufungua kampeni zake za kuwania ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjini) ambazo zinampatia ugali wa kila siku yeye pamoja na familia yake. Suala la kujiuliza ni kwamba kama ndege haziwanufaishi wananchi k

TANZANIA MIDDLE INCOME STATUS AND SEVEN INTERNATIONAL RECORDS UNDER PRESIDENT MAGUFULI

Picha
July 1, 2020, is the date that will go down as a remarkable day in Tanzania’s history. It was the first and beginning date for implementation of the fifth and final Government Budget to end the first five years of the fifth phase presidential administration; and, probably even more important, the day when the World Bank recognized Tanzania as a middle-income country five years in advance of 2025. In discussing those achievements, I would like to draw the attention of keen observers upon the seven (7) key success stories which will go down in history as remarkable international records that indeed appropriately do corroborate the remarkable achievements.  First, one should bear in mind that while some people were preoccupied with asking and challenging about what kind of nation President Magufuli is building, on July 1, 2020, the World Bank responded. That Magufuli was building a middle-income nation. Second, the 2017 acknowledgement of Ms Christine Legarde when interviewed in Ethiopia

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMEVUNJA MAKUNDI NDANI YA CCM BABATI

Picha
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa amewaasa  wanaCCM wote waliotia nia ya kugombea ubunge wa Jimbo hilo  waondoe tofauti zao  na kuwaunga mkono wagombea walioteuliwa na Chama hicho  Paulina Gekul Babati mjini na Daniel Sillo Babati vijijini. Majaliwa aliyazungumza hayo wakati alipokuwa akizindua Kampeni za CCM katika Mkoa wa Manyara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati. Jimbo la Babati mini lilikuwa na wagombea zaidi ya 30 ambapo kati ya hao watatu waliwahi kukalia kiti Cha Bunge. Ester Mahawe ambaye alikuwa Mbunge wa Viti maalum mkoani Manyara aliongoza katika kura zilizopigwa na wajumbe 91 lakini  hakupata ridhaa ya kugombea kutoka ngazi ya juu ya chama hicho. Anna Gidarya alikalia kiti hicho kama Mbunge wa viti maalum akiwa chama kikuu cha Upinzani (CHADEMA) na baadaye bunge lilipovunjwa alihamia Chama Cha Mapinduzi naye aligombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo hilo pamoja na Viti maalum lakini hakufanikiwa kupata kura za

LICHA YA AHADI KUWA WANGESHIRIKIANA, LISSU NA MEMBE KILA MMOJA ANAGOMBEA “KIVYAKE.”

Picha
By:  admin   Posted on   Vyama vikuu vya upinzani nchini Tanzania vimeshindwa kuunda ushirikiano uliotarajiwa kuvisaidia vyama hivyo kumng’oa madarakani Rais John Magufuli katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu. Jana ilikuwa siku ya mwisho kwa wagombea wa nafasi ya urais kutoka vyama mbalimbali kurejesha fomu zao Tume ya Taifa ya Uchaguzi huko Dodoma, na baadaye Tume kutangaza wagombea wa nafasi hiyo. Na katika taarifa rasni ya Tume hiyo, mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Lissu atachuana sio tu dhidi ya mgombea wa CCM, Magufuli, bali pia wa chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe. Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi za nchi hiyo, mgombea urais atakayepata kura nyingi ndiye atakayetangazwa mshindi. Ni kwa sababu hiyo ilidhaniwa kuwa ushirikiano kati ya Lissu na Membe, kwa upande mmoja, na Chadema na ACT-Wazalendo, kwa upande mwingine, ungeweza kutenegenza mazingira mazuri ya ushindi kwa kambi ya upinzani. Kutokana kila mmoja wao kusimamisha mgombea wao, kuna hatari v