LISSU APOTOSHA WANANCHI KUHUSU UWANJA WA NDEGE WA MPANDA- MKOANI KATAVI

Tundu Lissu  kama ameishiwa sera ni bora akae kimya kuliko kuongea uongo na upotoshaji pindi anapoomba kura kwa wananchi katika kampeni zake.


Leo akiwa katika kampeni zake Makambako Mkoani Njombe  amewaeleza wananchi kuwa uwanja wa ndege wa Mpanda kwa sasa haufanyi kazi kwamba ulijengwa kwasababu Mizengo Pinda alikuwa Waziri Mkuu kuwa Sasa siyo Waziri Mkuu anaishi Zuzu Dodoma, Uwanja wa Ndege wa Mpanda watu wanalishia Mbuzi na Ng'ombe, jambo ambalo siyo kweli.

Ukweli ni kwamba mpaka sasa ndege za Air Tanzania zinafanya safari za kwenda mpanda, ushahidi huo hapo chini, unaoonesha kuwa kesho Tarehe 15/09/2020
Air Tanzania inaenda MPANDA na SEATS zimebaki 5 tu, hata Lissu anaweza kuziwahi kama unataka kwenda.

1600098980567.png


Watanzania tuwe makini na huyu Lissu na maneno anayoyatoa kwenye kampeni zake katika maeneo yenu, tuyatafakari na kuyatahimini kwani mtu ambaye analopoka mambo amabayo hayajui kiundani. NI MUONGO MPOTOSHAJI, HANA SERA.


Tuendelee kuunga mkono Rais Magufuli ili tuendelee kupata maendeleo

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Manufaa ya Ushirikiano wa Tanzania na Kenya

BE AWARE, Robert Amsterdam is a Canadian Set to Plant Violence in African Countries.

LICHA YA AHADI KUWA WANGESHIRIKIANA, LISSU NA MEMBE KILA MMOJA ANAGOMBEA “KIVYAKE.”